HEADER

HEADER

Monday, June 30, 2014

MAPICHA: MUNGU NI MWEMA KWANGU DAIMA

Ninalindwa, ninatunzwa, ninalishwa, ninavishwa na huyu mpenzi wa roho yangu YESU KRISTO. Sitomwacha kamwe na ninamuomba asiniache kamwe maisha mwangu. Yesu amekuwa mfariji wangu ninapopitia magumu, hakika ni faraja yangu.

 Mungu amenipa kazi ya kumimbia, nami ninafanya kama alivyoniambia.
 Yesu Kristo hunipa kicheko kila kuitwapo leo
 Ninaringa kwasababu ninaye Yesu Kristo, naye ananipenda sana...
 Upendo na marafiki zangu ni moja ya amri ya Yesu Kristo ambayo ninajitahihidi kutekeleza

 Unaonaje ukimpenda huyu Yesu Kristo maisha mwako
Najua unapitia magumu lakini yupo mwokozi wa hayo yote ambaye ni Bwana Yesu Kristo. Mkubali sasa

No comments:

Post a Comment